Zari Ameamua Kufanya ile inayoitwa Mwaga ugali na mie nimwage Mboga,
Baada ya tetesi kuwa Diamond alikuwa Zanzibar na Mrembo Dillish.....Leo
amekuwa bize kwenye mtandao wake wa Instagram akionyesha kuwa nae ana
mtu wake mwingine zaidi ya Diamond ambae wameenda nae Kidate, Mchana
alipost picha hiyo hapo chini yenye Caption "Lunch Date"
na jioni hii
ndio akamalizea kabisa na Picha inayoonyesha Class mbili na kinywaji
ikiwa na maana kuwa yupo somewhere na someone special
Toa Maoni yako