BANDA MEDIA BLOG

RONALDO AWAGARAGAZA MESSI NA NEYMAR TUZO YA MWANASOKA BORA WA FIFA


Cristiano Ronaldo amelitetea taji lake la mwanasoka bora wa Fifa safari hii kwa mwaka wa pili mfululizo.
Ronaldo aria wa Ureno na mshambulizi nyota wa Real Madrid amemshinda Lionel Messi aria wa Argentina anayekipiga Barcelona aliyeshika nafasi ya pili.
Nafasi ya tatu imekwenda kwa mwanasoka ghali zaidi duniani, Neymar kutoka Brazil anayekipiga PSG ya Ufaransa.
Ronaldo amefunga mabao 44 kwa klabu na nchi yake. Alifunga mabao mawili katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Juventus na kuiwezesha Real Madrid ya kuweka rekodi ya kubeba Kombe la Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa misimu miwili mfululizo likiwa ni kombe lao la 12.
He was presented with the award in London by (left to right) FIFA president Gianni Infantino, Diego Maradona and Ronaldo
Ronaldo kisses girlfriend Georgina Rodriguez after being named best footballer in the world for the second year in succession
The forward holds his trophy alongside Real Madrid manager Zinedine Zidane, who was named coach of the year in London
Ronaldo is photographed on stage alongside friends and family after retaining his crown ahead of Messi and Neymar
The Madrid star turned up with girlfriend Rodriguez and  son Cristiano Jnr at FIFA's The Best Awards on Monday night
The Portuguese forward has enjoyed another remarkable year, helping Real Madrid win La Liga and the Champions League

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG