JE, wajua mkusanyiko usiokuwa halali unaweza kuanzia watu watatu na mtu yeyote ikithibitika amehusika katika mkusanyiko usio halali atakuwa ametenda kosa na atawajibika kwa adhabu ya kifungo cha mwaka mmoja?
-
Pia bila kujali kama mkusanyiko ulikuwa halali, iwapo wahusika watajiweka katika hali itayowafanya wengine waogope kutatokea uvunjifu wa Amani au watachochea wengine wavunje Amani utakuwa mkusanyiko usio halali.
Tags
Jeshi la Polisi