MKUU WA MKOA WA DODOMA DKT, BILINITH MAHENGE ATOA SALAMU ZA KRISMAS NA MWAKA MPYA KWA WAKAZI WA MKOA HUO HUKU AKITO ZAWADI YA KRISMASI KWA WATOTO WASIOJIWEZA
byJohn Banda-
0
Sister Bligitha James wa kituo cha kulele watoto wenye matatizo ya akili akipokea Mbuzi Toka kwa Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jery Mwakyoma kwa ajili ya zawadi ya Sikuku ya Christmas, kwa niaba ya Shirika la Cheshea Home cha Miyuji Dodoma
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Mhe. Dkt. Bilinith Mahenge akizungumza jambo wakati akitoa Salamu za Christimas na Mwaka mpya Ofisini kwake
Viongozi
wa Kanisa la KKKT Usharika wa Arusha Road mjini Dodoma wakipokea zawadi
ya Krismas toka kwa Afsa uhusiano wa ofisi ya mkuuu wa Mkoa wa Dodoma
kwa ajili ya Sherehe ya watoto wasiojiweza waliyopo majumbani
wanaosaidiwa na kanisa hilo [PICHA NA JOHN BANDA WA BANDA BLOG]