BANDA MEDIA BLOG

Mtulia Akabidhiwa Rasmi Kadi ya CCM

Mtulia Akabidhiwa Rasmi Kadi ya CCM

Aliyekuwa Mbunge wa Kinondoni kupitia CUF, Maulid Said Abdallah Mtulia akabidhiwa rasmi kadi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika ofisi za chama hicho Kinondoni, Dar es salaam.

Disemba 2 mwaka huu, Mh. Mtulia alitangaza kujiuzulu nafasi ya zote za uongozi ndani ya chama hicho na kujivua uanachama.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG