BANDA MEDIA BLOG

Serikali Imeagiza Ekari 129 Zilizotunzwa Kwa Ajili ya Kuzikia Viongozi Zirudishwe Kwa Wananchi



  Rais Magufuli ameagiza eka 129 za ardhi iliyopo Iyumbu, ambazo serikali ilikusudia zitumike kwa ajili ya kuzika viongozi zirudishwe kwa wananchi
-
Rais amesema sheria hiyo ilipitishwa kabla hajawa rais ila ana uhakika hakuna kiongozi atakayetaka kuzikwa hapo kwani watapenda kuzikwa kwao

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG