BANDA MEDIA BLOG

WALIMU WALEZI WA WANAFUNZI WALIYOPO KATIKA CLUB ZA FEMA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI WAKUTANA MJINI DODOMA KWA AJILI YA KUJINOA KWA SIKU 2 mjini Dodoma

Walimu walezi wa Club za Fema katika shule Sekondari Nchini wakiwa katika picha ya pamoja mjini Dodoma walipohuzuria mafunzo kwa ajili ya malezi ya vijana waliopo mashuleni

Meneja wa Uhamasishaji Jamii wa Femina Hip Nashivai Molel akifafanua jambo wakati alipokuwa  akifungua mafunzo ya siku 2 yaliyowahusisha Walimu Walezi wa Shule za Sekondari kuhusu namna ya kuwafundisha vijana waliyopo mashuleni  Elimu ya maisha  

Walimu na wadau Mbalimbali wakiwa katika ukumbi wa Cavilam Mjini Dodoma kwa ajili ya mafunzo hayo [PICHA NA JOHN BANDA WA BANDA BLOG]






Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG