
Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, AC Milan na Man City, George Weah ametangazwa kuwa raise mpya wa Liberia.
Weah ambaye ni Mwafrika pekee kushinda
tuzo ya mchezaji bora wa dunia na ila ya Ulaya ameshinda marimba 12 kati
ya 15 yaliyofanya uchaguzi.
Mwanasoka huyo nyota wa zamani
amemshinda aliyekuwa mpinzani wake mkubwa Joseph Boakai, ambaye amekuwa
makamu wa raise wa Liberia kwa miaka 12 na mwisho ameambulia ushindi
katika majimbo mawili tu,
Tags
SIASA ZA NJE