![]() |
| Wajumbe wa kikao cha Baraza kuu la wafanyakazi wa Serikali za Mitaaa TALGWU kilichofanyika mjini Dodoma [PICHA NA JOHN BANDA] |
Chama cha wafanyakazi wa
serikali za mitaa TALGWU kimesikitishwa na serikali kulipa deni la
walimu na kuwasahau wao wanaoidai serikali jumla ya shilingi bilioni 37.5 .
Ofisa Habari wa TALGWU Shani Kigwasali,amesema kuwa deni
hilo ni la siku nyingi na limekuwa likiongezeka kila mwaka kutokana na mahitaji
muhimu ya wafanyakazi ikiwemo suala la ugonjwa na likizo.
Amesema wanashangazwa kuona walimu wanalipwa na wao wafanyakazi wa serikali za mitaa bao sio walimu kusahaulika kwani wao ndio wanaoshugulikia mambo yote ya maendeleo katika halmashauri ikiwamo ukusanyaji was mapato na ujenzi wa shule.
naibu waziri wa kazi ajira na vijana mh Antony Mavundeambaye alikuwa mgeni rasmi amesema serikali itahakikisha inalipa madeni ya watumishi hao lakini amewataka watumishi hao kutojihusisha na udanganyifu wowote kwani serikali haitamfumbia macho Mtu yeyote atakayejihusisha na udanganyifu huo.
Amesema wanashangazwa kuona walimu wanalipwa na wao wafanyakazi wa serikali za mitaa bao sio walimu kusahaulika kwani wao ndio wanaoshugulikia mambo yote ya maendeleo katika halmashauri ikiwamo ukusanyaji was mapato na ujenzi wa shule.
naibu waziri wa kazi ajira na vijana mh Antony Mavundeambaye alikuwa mgeni rasmi amesema serikali itahakikisha inalipa madeni ya watumishi hao lakini amewataka watumishi hao kutojihusisha na udanganyifu wowote kwani serikali haitamfumbia macho Mtu yeyote atakayejihusisha na udanganyifu huo.
Tags
TALGWU





