BANDA MEDIA BLOG

Meli Nyingine Yenye Bendera ya Tanzania Yakamatwa Ugiriki Ikiwa na Vifaa vya Silaha


Serikali ya Ugiriki imeikamata meli yenye usajili wa Tanzania, ikielekea nchini Libya huku imebebea vifaa vya kutengeneza silaha.
-
Umoja wa Mataifa na Ulaya uliweka vikwazo vinavyozuia kuuza au kupeleka silaha Libya tangu mwaka 2011
-
Je, Nini chanzo cha Meli za mataifa mengine kutumia bendera ya Tanzania?

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG