BANDA MEDIA BLOG

MWENYEKITI WA UMOJA WA VIJANA MKOA WA DODOMA BILLY CHIDABWA AWAITA VIONGOZI WA UMOJA HUO WILAYA KUTAKA RAPOTI YA MALI NA MIRADI YA UMOJA HUO, AMBAPO AMEANZA KUNUSA HARUFU YA UFISADI KUANZIA NA OFISINI KWAKE

Mwenyekiti wa Umoja wa vijana wa CCM mkoa wa Dodoma ,Billy Chidabwa akifafanua Jambo wakatati alipokuwa akiongea na Wenyeviti na makatibu wa Umoja huo wa Wilaya zote za mkoa huo
Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM [UVCCM] mkoa wa Dodoma Asia Halamga akizungumza jambo kwenye kikao cha ndani cha Umoja huo kilichofanyika katika ukumbi wa White House ambapo kikao hicho kilihusia viongozi wa ngazi za wilaya na Mkoa

Naibu Waziri wa kazi, Vijana na Ajira  na Mbunge wa jimbo la Dodoma Mjini Anthon Mavunde akielekeza jambo kwenye Kikao hicho kilichofanyika kwa siku moja kwa lengo la kupokea taarifa ya mali na miradi ya Umoja huo Mkoa na Wilya zake [PICHA ZOTE NA JOHN BANDA WA BANDA BLOG]
Mbunge wa viti maalum kupitia vijana Mariam Ditopile akizungumza kwenye kikao hicho



MNEC Mussa Mwakitinya akitoa salamu
Mjumbe wa Baraza la vijana Taifa Wensilaus Mazanda akizunguza jambo kwenye kikao hicho



kikao kikiendelea

Picha ya pamoja


Majadiliano

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG