BANDA MEDIA BLOG

Inasikitisha! Muuguzi Auawa Kikatili Kisha Mwili Wake Wafukiwa Pembezoni mwa Nyumba Yake



Inasikitisha! Muuguzi Auawa Kikatili Kisha Mwili Wake Wafukiwa Pembezoni mwa Nyumba Yake
Muuguzi wa Hospitali ya Wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani, Rosemary Mgombela anadaiwa kuuawa na kisha mwili wake kufukiwa pembeni ya nyumba yake.

Shangazi wa marehemu Veronica Mapunda amesimulia ilivyokuwa huku akimshuku mume wa marehemu huyo kuhusika kutokana na malalamiko aliyokuwa anayapata kutoka kwa marehemu kuwa hawaelewani.

Baada ya kutekeleza unyama huo mwanaume inaelezwa kuwa aliuzika mwili wa Mkewe pembezoni mwa nyumba wanayoishi.

Mamia ya Wananchi wamekusanyika kushuhudia tukio la kuufukua mwili huo.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG