
Shangazi wa marehemu Veronica Mapunda amesimulia ilivyokuwa huku akimshuku mume wa marehemu huyo kuhusika kutokana na malalamiko aliyokuwa anayapata kutoka kwa marehemu kuwa hawaelewani.
Baada ya kutekeleza unyama huo mwanaume inaelezwa kuwa aliuzika mwili wa Mkewe pembezoni mwa nyumba wanayoishi.
Mamia ya Wananchi wamekusanyika kushuhudia tukio la kuufukua mwili huo.
Tags
INASIKITISHA