HomeAjali Ajali Yaua Wanajeshi wa JWTZ Mbeya byJohn Banda -Thursday, June 14, 2018 0 Basi lenye namba za usajili T 755 BAB lililokuwa likitokea mkoani Tabora limepata ajali eneo la Igodima jijini Mbeya na kusababisha vifo vya kadhaa vya askari wa Jeshi la Wananchi. Taarifa kamili tunakuletea. Tags Ajali Facebook Twitter