Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam ambapo amemtaka mbunge wa Kigoma, Zito Kabwe kujitathmini.
“Niseme tu kwamba Zitto anatakiwa ajitathmini kwa kile anachokifanya, huyu ni fisadi mkubwa na anawaaminisha Watanzania uongo,”amesema Katambi
Tags
KATAMBI