BANDA MEDIA BLOG

Katambi awalipua Vigogo 11 mafisadi wa upinzani

Aliyekuwa Mwenyekiti wa (Bavicha) wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Patrobas Katambi amesema kuwa ana orodha ya vigogo 11 mafisadi wa upinzani.

Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam ambapo amemtaka mbunge wa Kigoma, Zito Kabwe kujitathmini.
“Niseme tu kwamba Zitto anatakiwa ajitathmini kwa kile anachokifanya, huyu ni fisadi mkubwa na anawaaminisha Watanzania uongo,”amesema Katambi

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG