Rais Magufuli Aguswa na Msiba wa Watu 10 Ajali ya Treni Atuma Salamu za Rambirambi
byJohn Banda-
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli
ametuma salam za rambirambi kufuatia vifo vya watu 10 baada ya basi
walilokuwa wanasafiria kugonga Treni la mizigo Mkoani Kigoma.