BANDA MEDIA BLOG

No title

DC, SHEKIMWERI ASIMAMIA  UCHAGUZI WA JUMUIYA YA WAZAZI MKOA WA DODOMA  

Mkuu wa wilaya ya Dodoma mjini akizingumza jambo wakati alipokuwa akitoa maelekezo ya jinsi ya kupiga kura kwa wajumbe wa Mkutano mkuu wa Mkoa wa Jumuiya ya wazazi ya mkoa huo 
wa


                                  wajumbe wakifuatilia jambo wakati wa uchaguzi huo

          Viongozi wa Mkoa wa Chana na jumuiya hiyo ya Wazazi ya CCM, Kwenye uchaguzi huo


Wagombea wa nafasi mbalimbali wakiwaonyesha Namba zao wapiga kura wakati zoezi hilo likiendelea
 

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG