BANDA MEDIA BLOG

No title

 

Hii Ndio Timu ya Tanzania Yenye Wachezaji Wengi AFCON


Hadi muda huu Yanga SC ndio timu pekee ya Tanzania iliyotoa wachezaji wengi zaidi watakaowakilisha mataifa yao kwenye michuano ya AFCON inayofanyika Ivory Coast mwezi huu.

 

• Diarra _______[Mali ]🇬🇳

• Aziz Ki ______[ Burkina Faso ]🇧🇫

• Musonda ____[Zambia] 🇿🇲

•Bacca________[ Tanzania] 🇹🇿

• Mudathir _____[Tanzania] 🇹🇿

• Metacha _____[ Tanzania]🇹🇿

• Mwamnyeto __[Tanzania] 🇹🇿

• Job__________[Tanzania]🇹🇿

 

Kwa upande wa Tanzania majina yanaweza kupungua kama Kocha mkuu atakata jina la yoyote hapo kwenye orodha ya mwisho itakayotangazwa hivi karibuni.


Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG