BANDA MEDIA BLOG

SPIKA WA BUNGE DKT. TULIA AKSON ASHIRIKI BUNGE MARATHON, WANARIADHA WAJINYAKULIA VITITA

Spka wa Bunge la Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania Dkt. Tulia Acson akimkabidhi zawadi ya mshindi wa kwanza  Wanaumewa Mbio za Nusu Marathon zilizoandaliwa na Bunge.
Spka wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Acson akimkabidhi zawadi ya mshindi wa kwanza wanawake wa Mbio za Nusu Marathon zilizoandaliwa na Bunge.
Katibu wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Nenewa Mwihambi akimkabidhi zawadi ya Mshindi wa Pili wanawake Km. 21 za Bunge Marathon




Wafanyakazi wa Bunge la Tanzania wakiwa katika picha ya Pamoja mara baada ya mbio za Marathon kukamilika katika viwanja vya Jamhuri jijini Dodoma.
Spika wa Bunge Dkt. Tulia Akson akimkabidhi Mzee Mashaka zawadi ya Fedha Tasilimu Baada ya kushiriki Bunge Marathon na kufanikiwa kumaliza Km. 5


Mbunge William Lukivi akimaliza km. 5 kwenye mbio hizo
Mmoja wa Washiriki mwenye Ulemavu wa Miguu Kessy wa Visa akiwa kaitika picha ya pamoja na washiriki wenzake

ILanzo Jogging ni moja ya Vilabu vilivyoshiriki Bunge Marathon 2024

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG