Naibu Katibu Mkuu Bara wa Chama cha Mapinduzi, John Mongera akivishwa Mgorole wa kigogo na Wazee kwa Kimira wa Mkoa wa Dodoma mara baada ya Kuwasili kwa Mara ya kwanza katika Ofisi za Makao makuu ya Chama hicho, tangu alipoteuliwa kushika Nafasi hiyo.
WAJUMBE WA SEKRETARIETI YA CCM WAKIONGOZWA NA NAIBU KATIBU MKUU WAPOKELEWA DODOMA, WATEMA CHECHE KUELEKEA CHAGUZI ZIJAZO
byJohn Banda
-
0



