Dada manka mwenye ndevu ambaye alieleza jinsi alivyokaa mda mrefu bila kupata mume .. Bahati yake imeangukia kwa muiguzaji mkongwe na askari Hashimu kambi ambaye ameahidi kumuoa na kuisha nae.. Ikumbukwe mke wake Hashimu Kambi ameshafariki Dunia kwahiyo ameamua kumuoa mwanamke mwingine na bahati imeangukia kwa Dada manka mwenye ndevu..Acha wivu wape hongera kwenye Maisha Yao mapya.
