BANDA MEDIA BLOG

ACHENI KUFOKEA FOKEA WATUMISHI WENZENU:WAZIRI SIMBACHAWENE

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George  Simbachawene akizungummza na  Watumishi wa Chuo cha Utumishi wa Umma  Kampasi ya Dar es Salaam.

Baadhi ya Watumishi wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George  Simbachawene wakati alipofanya ziara ya kutembelea Chuo cha Utumishi wa Umma  Kampasi ya Dar es Salaam.

 

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George  Simbachawene akipata maelezo wakati alipotembelea chumba cha  mashine za kizamani za kujifunzia za  kuchapa kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza  katika Chuo cha Utumishi Kampusi ya Dar es Salaam akiwa na Mkuu wa Chuo hicho Dkt. Ernest Mabonesho.


Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG