Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene akizungummza na Watumishi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Kampasi ya Dar es Salaam.

Baadhi ya Watumishi wakimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene wakati alipofanya ziara ya kutembelea Chuo cha Utumishi wa Umma Kampasi ya Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.George Simbachawene akipata maelezo wakati alipotembelea chumba cha mashine za kizamani za kujifunzia za kuchapa kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza katika Chuo cha Utumishi Kampusi ya Dar es Salaam akiwa na Mkuu wa Chuo hicho Dkt. Ernest Mabonesho.