• Mwanzo
  • About Us
  • Contact Us
BANDA MEDIA BLOG
  • MWANZO
  • HABARI
  • _SIASA
  • _MAISHA
  • _JAMII
  • _TEKNOLOJIA
  • MAGAZETI
  • SIASA
  • _KITAIFA
  • _KIMATAIFA
  • MICHEZO
BANDA MEDIA BLOG
HomeAFYA

Afrika Mashariki yataka nguvu ya pamoja kukabiliana na Marburg

byJohn Banda -Sunday, October 06, 2024
0

 

Ugonjwa wa Marburg huenezwa kupitia Popo wa matunda aina ya rousette./Picha: Getty    

Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imetoa wito wa ushirikiano wa pamoja kati ya nchi wananchama wa jumuiya hiyo katika kupambana mlipuko wa ugonjwa wa Marburg.

Mnamo Septemba 27, 2024 Wizara ya Afya ya Rwanda ilitangaza mlipuko wa ugonjwa wa Marburg, huku ikithibitisha vifo vya watu 10 kutokana na ugonjwa huo.

Tayari, Shirika la Afya Duniani (WHO) limeonesha wasiwasi juu ya ya kusambaa wa ugonjwa huo kwenye mipaka ya Rwanda na nchi za DRC, Uganda, and Tanzania.

“Kuna haja kubwa ya nchi wanachama wa EAC kushirikiana pamoja ili kudhibiti kusambaa kwa ugonjwa huu, kupitia uimarishaji wa shughuli za upimaji kwenye mipaka yetu,” alisema Andrea Aguer Ariik Malueth, Naibu Katibu Mkuu wa EAC anayeshughulikia Miundombinu na Mambo ya Kijamii.

Wito huo unakuja wakati Rwanda imeanza kupima wasafiri wote wanaoingia nchini humo kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kigali.

Katibu Mkuu huyo, pia ametoa rai ya kuongeza uelewa na hamasa za kupambana na ugonjwa huo unaosababisha vifo.

Vimelea vya ugonjwa wa Marburg./Picha: Getty

Kulingana na Umoja wa Mataifa, virusi vya Marburg, ambavyo ni sawa na virusi hatari vya Ebola, viligunduliwa kwa mara ya kwanza baada ya watu 31 kuambukizwa, saba kati yao walikufa, mnamo 1967 huko Marburg na Frankfurt, Ujerumani na Belgrade huko Serbia.

Dalili za ugonjwa huo ni pamoja na kikohozi, maumivu ya viungo, kuhara na kutapika, na mara nyingi hata upungufu wa damu katika mwili.

Tags AFYA
  • Facebook
  • Twitter

You may like these posts

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG

LIFE SHINING BIBLE COLLEGE

BANDA MEDIA BLOG

IPAGALA , DODOMA

Tufuate Mtandaoni

JOHN BANDA

BANDA MEDIA BLOG

WALIOTUTEMBELEA

TUWASILIANE HAPA

ZINAZOSOMWA ZAIDI

MAGAZETI YA LEO

HIZI HAPA KURASA ZA MBELE NA NYUMA KWENYE BAADHI YA MAGAZETI YA LEO JUNE 23,2026

byJohn Banda-Tuesday, June 23, 2026

HIZI HAPA KURASA ZA MBELE NA NYUMA KWENYE BAADHI YA MAGAZETI YA LEO JUNE 25,206

Thursday, June 25, 2026

HIZI HAPA KURASA ZA MBELE NA NYUMA KWENYE BAADHI YA MAGAZETI YA LEO, JUNE 27,2026

Saturday, June 27, 2026

BIDHAA BANDIA ZINAHATARISHA MAISHA YA WANANCHI- WAZIRI MKUU

Wednesday, June 24, 2026

HIZI HAPA KURASA ZA MBELE NA NYUMA KWENYE BAADHI YA MAGAZETI YA LEO JUNE 28,2026

Sunday, June 28, 2026

BAJETI YA EAC YAGUSA MAISHA YA WANANCHI ,VIJANA NA WANAWAKE

Thursday, June 25, 2026

DKT. MUNISI: WATUMISHI WA UMMA DUMISHENI HUDUMA BORA KWA WANANCHI

Thursday, June 25, 2026

DUMUNI KATIKA MAOMBI KILA WAKATI BADALA YA KUOMBA WAKATI WA CHANGAMOTO PEKEE- ASKOFU HOTAY

Sunday, June 28, 2026

SERIKALI KUFUNGA KAMERA KUDHIBITI UHARIBIFU MIUNDUMBINU YA BARABARA

Thursday, June 25, 2026

TAKUKURU ARUSHA YAMKAMATA MTUHUMIWA ALIYEKUWA AMETOROKA HUKUMU YA MIAKA 20 JELA

Wednesday, June 24, 2026

BLOGU MARAFIKI

  • MICHUZI BLOG
    TAFITI ZA NDANI ZATAKIWA KUIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA AKILI - Na Farida Mangube, Morogoro Wataalamu wa saikolojia nchini wameeleza kuwa ukosefu wa tafiti zinazoakisi uhalisia wa jamii za Kitanzania, pamoja na kuende...
    10 hours ago
  • Wazalendo 25 Blog
    Biashara : Taasisi za Kifedha za Ndani Zinafaa Kuimarisha Ushirikiano na Serikali katika Miradi ya Maendeleo - Rais Dkt. Mwinyi - Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesisitiza kuwa bado kuna fursa nyingi kwa taasisi za kifedha...
    3 days ago
  • PAMOJA BLOG
    TCAA Yavutia Viongozi wa Serikali Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma - Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius W. Kahyarara akisaini kitabu katika banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) kwenye maadhimisho...
    5 days ago
  • ShaffihDauda.co.tz – Gambling News
    Global Gaming Report: Markets, Enforcement, and Compliance - If you’re navigating today’s global gaming market, you know the stakes keep rising alongside the industry’s value. With compliance demands tightening and e...
    2 months ago
  • Official - Millard Ayo Website
    Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025 - Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini ke...
    1 year ago
  • KAZENZELE
    TBA WANAFUATILIA KUJIRIDHISHA JUU Y AMAJENGO HAYA - Wakati picha za majengo yenye nyufa zikisambaa mitandaoni ikidaiwa ni ya hosteli mpya za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), uongozi wa Wakala wa Majengo ...
    8 years ago

KUMBUKUMBU

  • 2015 (694)
  • 2016 (3127)
  • 2017 (4025)
  • 2018 (444)
  • 2022 (1117)
  • 2023 (246)
  • 2024 (2866)
  • 2025 (718)
  • 2026 (1180)

TAFSIRI YA LUGHA

MAKTABA YETU

  • SIASA
  • MAGAZETI YA LEO
  • HABARI
  • AFYA
  • MICHEZO
  • ELIMU
  • KIMATAIFA
  • MAHUSIANO
  • BIASHARA
  • UTALII
  • Burudani
  • UTAMADUNI
  • HISTORIA
  • KITAIFA
  • maisha
  • Uchumi
  • SHERIA
  • Mahakama
  • Samia Hassan Suluhu
  • AJIRA
  • KILIMO
  • UTEUZI
  • Zanzibar
  • Dini
  • RUSHWA
  • makala
  • UBUNIFU
  • Uchaguzi
  • TEKNOLOJIA
  • kanisani
  • RIADHA
  • TENDO LA NDOA
  • WAHARIRI

HABARI ZA KALE

  • HUU HAPA WASIFU WA DKT. NEEMA MAJULE MGOMBEA UBUNGE KUPITIA UWT DODOMA
     DR NEEMA PETER MAJULE Mgombea Ubunge Viti Maalum Wanawake  Mkoa Dodoma Wasifu Mwenyekiti wa UWT Mkoa Awamu 2 Mchumi na mtaalum wa maandiko ...
  • TANGAZO LA AJIRA ZA KAZI 1,150 NCHINI QATAR
     
  • ROSE MUHANDO KUOLEWA NA ASKOFU MKENYA
      MALIKIA wa nyimbo za injili Nchini Tanzania Rose Muhando anatarajia kufunga ndoa hivi karibuni huko nchini Kenya na  mwimbaji mwenzake wa ...
  • HII HAPA SIMULIZI YA MWALIMU ''SINGLE MOTHER'' ALIYEKIMBIA KAZI KISA NGONO
                                Mwalimu Doris Peter akiwa kwenye majukumu yake UALIMU ni wito, pia ni kazi kama zilivyo kazi nyingine za kitaa...
  • HIZI HAPA KURASA ZAMBELE NA NYUMA KWENYE BAADHI YA MAGAZETI YA LEO JULAI 9,2025
                                                 
  • DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI
      Mwanaume nisikilize! Umasikini unauma zaidi ukiwa mwanaume. Familia inakutazama tofauti sana hata kama haikuambii ila we fahamu tu kuwa ku...
  • WAGOMBEA WA CCM KATIKA NAFASI ZA UBUNGE, UWAKILISHI, VITI MAALUM NA UDIWANI SOMENI HII
               
  • WAUMINI WAMPELEKA PADRI KITIMA VATIKANI, WAOMBA UCHUNGUZI WA MWENENDO WAKE
    Dar es Salaam, 22 Desemba 2025. Waumini wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania, Stanslaus Thobias Nyakunga na Elia Phaustine Kabote, wamewasilis...
  • KUDHURUMIWA MALI KWA WAJANE BAADA YA KUFIWA NA WAUME ZAO KWASABABISHA SIMANZI...
    Mwenyekiti wa Jukwa la Uwezeshaji Kiuchumi Mkoa wa Dodoma, Mary Mabara, akielekeza jambo wakati alipokuwa akizungumza na Wanawake wa jana wa...
  • MAASKOFU NA WACHUNGAJI WANAONGOZA KUWA NA MIGOGORO KATIKA NDOA KULIKO WAUMINI WAO
    NA JOHN ISRAEL, DODOMA IMEELEZWA kuwa Tanzania ni nchi pekee Duniani iayotoa cheti cha Ndoa kwa wanandoa Bila wahusika kuwa na Elimu Stahiki...
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG

HABARI MCHANGANYIKO

HUU HAPA WASIFU WA DKT. NEEMA MAJULE MGOMBEA UBUNGE KUPITIA UWT DODOMA

Wednesday, July 16, 2025

TANGAZO LA AJIRA ZA KAZI 1,150 NCHINI QATAR

Sunday, February 01, 2026

ROSE MUHANDO KUOLEWA NA ASKOFU MKENYA

Wednesday, January 14, 2026

HABARI MPYA

ZINAZO BAMBA ZAIDI

HIZI HAPA KURASA ZA MBELE NA NYUMA KWENYE BAADHI YA MAGAZETI YA LEO JUNE 23,2026

Tuesday, June 23, 2026

HIZI HAPA KURASA ZA MBELE NA NYUMA KWENYE BAADHI YA MAGAZETI YA LEO JUNE 25,206

Thursday, June 25, 2026

HIZI HAPA KURASA ZA MBELE NA NYUMA KWENYE BAADHI YA MAGAZETI YA LEO, JUNE 27,2026

Saturday, June 27, 2026

Copyright © 2015 - 2026 Banda Media Blog All Right Reserved

Developed by Gadiola Emanuel
Theme by AP | Developed by Gadiola Emanuel
  • Home
  • About Us
  • Contact Us
  • News

Contact Form