• Mwanzo
  • About Us
  • Contact Us
BANDA MEDIA BLOG
  • MWANZO
  • HABARI
  • _SIASA
  • _MAISHA
  • _JAMII
  • _TEKNOLOJIA
  • MAGAZETI
  • SIASA
  • _KITAIFA
  • _KIMATAIFA
  • MICHEZO
BANDA MEDIA BLOG
HomeAFYA

Afrika Mashariki yataka nguvu ya pamoja kukabiliana na Marburg

byJohn Banda -Sunday, October 06, 2024
0

 

Ugonjwa wa Marburg huenezwa kupitia Popo wa matunda aina ya rousette./Picha: Getty    

Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imetoa wito wa ushirikiano wa pamoja kati ya nchi wananchama wa jumuiya hiyo katika kupambana mlipuko wa ugonjwa wa Marburg.

Mnamo Septemba 27, 2024 Wizara ya Afya ya Rwanda ilitangaza mlipuko wa ugonjwa wa Marburg, huku ikithibitisha vifo vya watu 10 kutokana na ugonjwa huo.

Tayari, Shirika la Afya Duniani (WHO) limeonesha wasiwasi juu ya ya kusambaa wa ugonjwa huo kwenye mipaka ya Rwanda na nchi za DRC, Uganda, and Tanzania.

“Kuna haja kubwa ya nchi wanachama wa EAC kushirikiana pamoja ili kudhibiti kusambaa kwa ugonjwa huu, kupitia uimarishaji wa shughuli za upimaji kwenye mipaka yetu,” alisema Andrea Aguer Ariik Malueth, Naibu Katibu Mkuu wa EAC anayeshughulikia Miundombinu na Mambo ya Kijamii.

Wito huo unakuja wakati Rwanda imeanza kupima wasafiri wote wanaoingia nchini humo kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kigali.

Katibu Mkuu huyo, pia ametoa rai ya kuongeza uelewa na hamasa za kupambana na ugonjwa huo unaosababisha vifo.

Vimelea vya ugonjwa wa Marburg./Picha: Getty

Kulingana na Umoja wa Mataifa, virusi vya Marburg, ambavyo ni sawa na virusi hatari vya Ebola, viligunduliwa kwa mara ya kwanza baada ya watu 31 kuambukizwa, saba kati yao walikufa, mnamo 1967 huko Marburg na Frankfurt, Ujerumani na Belgrade huko Serbia.

Dalili za ugonjwa huo ni pamoja na kikohozi, maumivu ya viungo, kuhara na kutapika, na mara nyingi hata upungufu wa damu katika mwili.

Tags AFYA
  • Facebook
  • Twitter

You may like these posts

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG

LIFE SHINING BIBLE COLLEGE

BANDA MEDIA BLOG

IPAGALA , DODOMA

Tufuate Mtandaoni

JOHN BANDA

BANDA MEDIA BLOG

WALIOTUTEMBELEA

TUWASILIANE HAPA

ZINAZOSOMWA ZAIDI

DINI NA MADHEHEBU

KANISA ANGLIKANA TANZANIA LAPIGA HATUA KUWEKEA MIKONO WACHUNGAJI WANAWAKE

byJohn Banda-Friday, August 21, 2026

HIZI HAPA KURASA ZA MBELE NA NYUMA KWENYE BAADHI YA MAGAZETI YA LEO, AGOSTI 21,2026

Friday, August 21, 2026

HIZI HAPA KURASA ZA MBELE NA NYUMA KWENYE BAADHI YA MAGAZETI YA LEO AGOSTI 19,2026

Wednesday, August 19, 2026

HIZI HAPA KURASA ZA MBELE NA NYUMA KWENYE BAADHU YA MAGAZETI YA LEO AGOSTI 22,2026

Saturday, August 22, 2026

HIZI HAPA KURASA ZA MBELE NA NYUMA KWENYE BAADHI YA MAGAZETI YA LEO AGSTI 24,2026

Monday, August 24, 2026

TUKIO NA MAZINGIRA YA KIFO CHA MARAIS WA BURUNDI NA RWANDA KATIKA AJALI YA NDEGE (1994)

Tuesday, August 25, 2026

Mahakama Kuu Yasema Tundu Lissu Ana Kesi ya Kujibu Kwenye Tuhuma za Uhaini

Saturday, August 22, 2026

UJUMBE WA BARAZA LA BIASHARA LA SAUDI ARABIA NA TANZANIA WATEMBELEA STAMICO

Wednesday, August 19, 2026

TANGAZO LA AJIRA ZA KAZI 1,150 NCHINI QATAR

Sunday, February 01, 2026

AFRIKA KUWA NA SAUTI MOJA MABADILIKO YA MFUMO WA AFYA DUNIANI

Monday, August 24, 2026

BLOGU MARAFIKI

  • MICHUZI BLOG
    FANTA® Introduces New Berry Flavour in Tanzania - A new FANTA® flavour is adding a burst of deliciousness to the brand’s portfolio in Tanzania with the launch of FANTA® Berry. This bolder, fruitier tasti...
    14 hours ago
  • PAMOJA BLOG
    BODI YA TAFICO YARIDHISHWA KUKAMILIKA KWA BANDARI YA UVUVI KILWA MASOKO - Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO), imefanya ziara ya ukaguzi katika mradi wa Bandari ya Uvuvi Kilwa Masoko, kwa lengo la kujione...
    4 days ago
  • Wazalendo 25 Blog
    NBC Yatoa Mikopo ya Makazi kwa Wakulima 57 - - Yaendelea kukabidhi Malori kwa Vyama vya Ushirika Kufuatia hatua ya Serikali kukabidhi Shilingi bilioni 300 kwa taasisi saba za kifedha, ikiwemo Benki...
    2 weeks ago
  • ShaffihDauda.co.tz – Gambling News
    Global Gaming Report: Markets, Enforcement, and Compliance - If you’re navigating today’s global gaming market, you know the stakes keep rising alongside the industry’s value. With compliance demands tightening and e...
    3 months ago
  • Official - Millard Ayo Website
    Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025 - Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini ke...
    1 year ago
  • KAZENZELE
    TBA WANAFUATILIA KUJIRIDHISHA JUU Y AMAJENGO HAYA - Wakati picha za majengo yenye nyufa zikisambaa mitandaoni ikidaiwa ni ya hosteli mpya za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), uongozi wa Wakala wa Majengo ...
    8 years ago

KUMBUKUMBU

  • 2015 (694)
  • 2016 (3127)
  • 2017 (4025)
  • 2018 (444)
  • 2022 (1117)
  • 2023 (246)
  • 2024 (2866)
  • 2025 (718)
  • 2026 (1372)

TAFSIRI YA LUGHA

MAKTABA YETU

  • SIASA
  • MAGAZETI YA LEO
  • HABARI
  • AFYA
  • MICHEZO
  • ELIMU
  • KIMATAIFA
  • MAHUSIANO
  • BIASHARA
  • UTALII
  • Burudani
  • HISTORIA
  • UTAMADUNI
  • KITAIFA
  • maisha
  • Uchumi
  • SHERIA
  • Mahakama
  • Samia Hassan Suluhu
  • UTEUZI
  • AJIRA
  • KILIMO
  • Dini
  • Zanzibar
  • RUSHWA
  • makala
  • UBUNIFU
  • Uchaguzi
  • TEKNOLOJIA
  • kanisani
  • RIADHA
  • TENDO LA NDOA
  • WAHARIRI

HABARI ZA KALE

  • TANGAZO LA AJIRA ZA KAZI 1,150 NCHINI QATAR
     
  • ROSE MUHANDO KUOLEWA NA ASKOFU MKENYA
      MALIKIA wa nyimbo za injili Nchini Tanzania Rose Muhando anatarajia kufunga ndoa hivi karibuni huko nchini Kenya na  mwimbaji mwenzake wa ...
  • HII HAPA SIMULIZI YA MWALIMU ''SINGLE MOTHER'' ALIYEKIMBIA KAZI KISA NGONO
                                Mwalimu Doris Peter akiwa kwenye majukumu yake UALIMU ni wito, pia ni kazi kama zilivyo kazi nyingine za kitaa...
  • WAUMINI WAMPELEKA PADRI KITIMA VATIKANI, WAOMBA UCHUNGUZI WA MWENENDO WAKE
    Dar es Salaam, 22 Desemba 2025. Waumini wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania, Stanslaus Thobias Nyakunga na Elia Phaustine Kabote, wamewasilis...
  • MAASKOFU NA WACHUNGAJI WANAONGOZA KUWA NA MIGOGORO KATIKA NDOA KULIKO WAUMINI WAO
    NA JOHN ISRAEL, DODOMA IMEELEZWA kuwa Tanzania ni nchi pekee Duniani iayotoa cheti cha Ndoa kwa wanandoa Bila wahusika kuwa na Elimu Stahiki...
  • KUDHURUMIWA MALI KWA WAJANE BAADA YA KUFIWA NA WAUME ZAO KWASABABISHA SIMANZI...
    Mwenyekiti wa Jukwa la Uwezeshaji Kiuchumi Mkoa wa Dodoma, Mary Mabara, akielekeza jambo wakati alipokuwa akizungumza na Wanawake wa jana wa...
  • TAKUKURU YAKAMATA WASHUKIWA SUGU WA UHARIFU WA KIMTAIFA
           
  • HIZI HAPA KURASA ZA MBELE NA NYUMA KWENYE BAADHI YA MAGAZETI YA LEO DESEMBA 14,2025
                                   
  • PROF. KABUDI AWAHIMIZA DIASPORA KUWEKEZA NCHINI TANZANIA
      Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Prof. Palamagamba Kabudi, amewahimiza Watanzania wanaoishi nje ya nchi (Diaspora) kuendelea k...
  • HIZI HAPA KURASA ZA MBELE NA NYUMA KWENYE BAADHI YA MAGAZETI YA LEO, APRILI 19,2026
                       
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG

HABARI MCHANGANYIKO

TANGAZO LA AJIRA ZA KAZI 1,150 NCHINI QATAR

Sunday, February 01, 2026

ROSE MUHANDO KUOLEWA NA ASKOFU MKENYA

Wednesday, January 14, 2026

HII HAPA SIMULIZI YA MWALIMU ''SINGLE MOTHER'' ALIYEKIMBIA KAZI KISA NGONO

Monday, January 19, 2026

HABARI MPYA

ZINAZO BAMBA ZAIDI

KANISA ANGLIKANA TANZANIA LAPIGA HATUA KUWEKEA MIKONO WACHUNGAJI WANAWAKE

Friday, August 21, 2026

HIZI HAPA KURASA ZA MBELE NA NYUMA KWENYE BAADHI YA MAGAZETI YA LEO, AGOSTI 21,2026

Friday, August 21, 2026

HIZI HAPA KURASA ZA MBELE NA NYUMA KWENYE BAADHI YA MAGAZETI YA LEO AGOSTI 19,2026

Wednesday, August 19, 2026

Copyright © 2015 - 2026 Banda Media Blog All Right Reserved

Developed by Gadiola Emanuel
Theme by AP | Developed by Gadiola Emanuel
  • Home
  • About Us
  • Contact Us
  • News

Contact Form