BANDA MEDIA BLOG

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKIWA BUNGENI DODOMA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete  (wa pili kulia)  na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu,  Kazi,  Vijana, Ajira  na Wenye Ulemavu, Patrobas Katambi, bungeni jijini Dodoma, Oktoba 30, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Same Mashariki, Anne Kilango Malecela, bungeni jijini Dodoma, Oktoba 30, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG