BANDA MEDIA BLOG

KAMPUNI YA KUTENGENEZA BGUZO ZA ZEGE MBELE YA KAMATI YA MBUNGE


Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, leo Januari 13, 2025, ameshiriki katika kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ambayo imepokea taarifa ya utendaji kazi wa Kampuni ya Uzalishaji Nguzo za zege (TCPM) 

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Mhe. Dkt. David Mathayo David, amemshukuru Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati kwa ushirikiano anaoutoa kwa Kamati na hivyo kuirahisishia utekelezaji wa majukumu yake.





 

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG