BANDA MEDIA BLOG

MHAGAMA ATOAMAAGIZO HAYO KWA BODI MPYA YA NHIF

 

Waziri wa Afya, Jenista Mhagama akimkabidhi vitendea kazi Mwenyekiti wa Bodi mpya ya Wakurugenzi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) jijini Dodoma leo Januari 21, 2025, ikiwa ni iashara ya uzinduzi rasmi wa bodi hiyo.
....................

 WAZIRI wa Afya Jenista Mhagama ameitaka Bodi  mpya wa kurugenzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kushugulikia Maslahi ya watumishi ili iwe rahisi kudai wajubu katika utendaji wao 


Mhagama ametoa Agizo hilo wakati alipokuwa akizindua Bodi mpya ya Afya NHIF uzinduzi uliofanyika, jijini Dodoma ambapo ameongeza kuwa  bodi hiyo inatakiwa kuwa wazi kwa kuwashirikisha wananchi katika mipango wanayoifanya wahakikishe wanawakumbuka  na kuwajali wananchi wa hali ya chini. Pia ameagiza kutomuonea haya mtumishi yeyote atakayeharibu taswira nzuri ya Taaisi hiyo. 

Waziri Mhagama akimkabidhi  vitendea kazi Mkurugenzi Mkuu wa mfuko huo, Dkt. Irene Isaka..
Mhagama akiwa na wajumbe wa bodi hiyo baada ya kuwakabidhi vitendea kazi.

 

Baadhi ya wajumbe wa bodi.

Waziri Mhagama akihutubia,

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG