February 15 2025
Ni siku ya shangwe na nderemo na furaha isiyosahauka kwa katibu wa Umoja wa Jumuiya wa wanawake Tanzania UWT CCM Tawi la chinyoyo kata ya kilimani Jijini Dodoma Bi Domina Kiria kufunga pingu za maisha na bwana Godfrey Mwasi ndoa takatifu ilifungwa katika kanisa katoliki la Mt. Paulo wa Msalaba Jimbo kuu la Dodoma na kufuatiwa na tafrija ya kuwaongeza maharusi hao iliyofanyika katika ukumbi wa Ulanga hotel Jijini Dodoma.
Picha na Barnabas Kisengi Dodoma








