BANDA MEDIA BLOG

MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AFUNGUA MAFUNZO ELEKEZI KWA WATUMISHI WAPYA WA OFISI YAKE.

Mwanasheria mkuu wa Serikali Mhe. Hamza Johary amewataka wafanyakazi katika ofisi ya mwananasheria mkuu wa Serikali kufanya kazi kwa kuzingatia weledi  na Ubora kuanzia mavazi, kauli mpaka katika uwajibikaji.

Mhe. Johary ametoa maelekezo hayo wakati alipokuwa akifungua mafunzo Elekezi ya siku mbili kwa wafanyakazi wapya wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali yanaofanyika jijini Dododoma kuanzia leo machi 13,2025

“tunawafundisha wafanyakazi wapya ili waweze kujua majukukumu na wajibu ndani ya ofisi hii inayosaidia serikali,

Pia wafahamu dira, dhima pamoja na kauli mbiu yetu ya viwango na ubora katika utendaji kazi wetu”, amesema

Jumla ya wafanyakazi 98 wa ofisi hiyo wameshiriki mafunzo hayo ambayo yameambatana na ujazaji fomu ya kiapo Pamoja na kupata kiapo cha utii…















Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG