Mwenyekiti wa UWT MKOA WA DODOMA Dr.Neema Majule anamshukuru Dkt. Samia Suluhu Hasani Mwenyekiti wa CCM, pamoja na wajumbe wa kamati kuu kwa kazi nzuri ya uteuzi wa majina ya wagombea wa Ubunge wa majimbo, Uwakilishi na viti maalumu, hapa nchini
Aidha Majule anakishukuru Chama kwa kuteuliwa kuwa mgombea wa nafasi ya ubunge UWT mkoa wa Dodoma.
