BANDA MEDIA BLOG

MAFURIKO KATIKA UZINDUZI WA KAMPEINI ZA CCM TAIFA DSM.

 

 Maelfu ya Wana CCM wamefurika leo katika viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe  Dar es Salaam, kushuhudia *uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mkuu kitaifa* wa CCM tarehe 28 Agosti 2025. Huu ni uthibitisho wa mapenzi makubwa na mahaba ya wanachama na watanzania kwa Chama Cha Mapinduzi na viongozi wake, wakiongozwa na *Mgombea Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Mgombea Mwenza Balozi Dkt. Emmanuel 








Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG