
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitembelea mabanda ya Maonesho ya Nanenane kujionea shughuli mbalimbali zinazoendelea katika viwanja vya Nanenane vilivyopo Nzuguni Jijini Dodoma tarehe 08 Agosti, 2025.

Matukio mbalimbali kwenye Maonesho ya Kitaifa na Kimataifa ya Nanenane, Nzuguni Jijini Dodoma tarehe 08 Agosti, 2025.
Tags
NANENANE 2025