CPL BISHANGA AWA MFANYAKAZI BORA WA JESHI LA UOKOAJI NA ZIMAMOTO MEATU 2025
byJohn Banda-
0
Mkuu wa mkoa wa Simiyu Anamringi Macha akimkabidhi CPL Vitus Bishanga Cheti cha pongezi Baada ya kuibuka Mfanyakazi Bora wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Wilayani Meatu Mkoani Simiyu Kwa mwaka 2025.