AMEANDIKA SUGU.
"Mwaka 1993 nilijaribu kuingia nchi hii na sikufanikiwa kuingia, wakati huo nilikuwa nakuja
KUTAFUTA MAISHA...
Hatimaye leo 2026 ndio nafanikikiwa kuingia SA, sio tena kutafuta maisha ila sasa ni KUOKOA MAISHA!
Asante sana MUNGU na Madaktari kwani afya yangu sasa imetengemaa na soon nitakuwa FIT 💯
🙏🏽
Tags
maisha
