WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba akishiriki Ibada ya Jumapili katika Kanisa Kuu Anglikana la Roho Mtakatifu Dodoma leo tarehe 18 Januari, 2026. (Pembeni yake ni Prof. Kabudi Palamagamba, Waziri wa ofisi ya Rais-Kazi Maalum).
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza na Waumini wa Kanisa Kuu Anglikana la Roho Mtakatifu Dodoma mara baada ya kushiriki Ibada ya jumapili katika kanisa hilo leo tarehe 18 Januari,2026. (PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba akishiriki Ibada ya Jumapili katika Kanisa Kuu Anglikana la Roho Mtakatifu Dodoma leo tarehe 18 Januari, 2026. (Pembeni yake ni Prof. Kabudi Palamagamba, Waziri wa ofisi ya Rais-Kazi Maalum).
Tags
Dini
