Mazoezi ya mchezo wa Bao la Kiswahili yakiendelea katika eneo la Makole ambapo wachezaji walijinasibu kutoa burudani nzuri na kuibuka na ushindi siku ya ijumaa tarehe 06 Februari, 2026 litakapofanyika bonanza la watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma
Tags
HABARI

