BANDA MEDIA BLOG

WAZIRI MKUU ASHIRIKI IBADA YA JUMAPILI KANISA KUU LA KKKT USHARIKA WA ARUSHA MJINI

 

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akisali katika Ibada ya Jumapili kwenye Kanisa Kuu  la Kiinjili la Kilutheri  (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Kati, Usharika wa Arusha Mjini, Februari 1, 2026. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Washiriki wa Ibada ya Jumapili kwenye Kanisa Kuu  la Kiinjili la Kilutheri  (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Kati, Usharika wa Arusha Mjini, wakimsikiliza Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba  alipozungumza,  Februari 1, 2026. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akizungumza katika  Ibada ya Jumapili kwenye Kanisa Kuu  la Kiinjili la Kilutheri  (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Kati, Usharika wa Arusha Mjini, Februari 1, 2026. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
 Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba akiwa katika picha ya pamoja na Askofu wa Dayosisi ya  Kaskazini Kati ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT),  Askofu  Dkt. Godson Abel Mollel na viongozi wa Mkoa wa Arusha  baada ya kushiriki Ibada ya Jumapili kwenye Kanisa Kuu la KKKT Usharika wa  Arusha Mjini, Februari 1, 2026. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG