Salaam za Pongezi.
CHANNEL ya mtandaoni ya Banda Media Tunakupongeza Kasisi Canon. Dkt. George Otieno Lawi, Katibu Mkuu, Kanisa Anglikana Tanzania, kwa kutimiza mwaka mmoja wa utumishi Ofisini. 24 machi 2026.
Mungu akupe Hekima na Maarifa ya kulichunga na kuliongoza Kanisa lake ili watu wote wamkiri Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yao.
