BANDA MEDIA BLOG

AZAM FC YAIFUNGA TOTO AFRICAN 5-0

Mshambuliaji wa Azam FC, Didier Kavumbagu akitafuta mbinu za kumtoka veki wa Toto African,  Hamis Seleman katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. (Picha na Francis Dande)
Wachezaji wa Toto African  wakiwa wamebeba ujumbe uliokuwa unasomeka 'Asante Sana Kocha Martin'


 Wachezaji wa Toto African wakiomba dua katika mchezo wao dhidi ya Azam FC.





Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG