BANDA MEDIA BLOG

KILICHOJIRI MAHAKAMA KUU KANDA YA MWANZA KUHUSU MWILI WA MAWAZO.

Hivi ndivyo ilivyokuwa jana Novemba 26,2015
Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza kutengua zuio la Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza  la kuzuia ibada ya mazishi ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoani Geita Alphonce Mawazo alieuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana Novemba 14 mwaka huu Mkoani humo.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG