BANDA MEDIA BLOG

KIONGOZI WA MYANMAR AUNG SAN SUU KYI KUWA NA WADHIFA JUU YA RAIS

Kiongozi wa Myanmar Bi. Aung San Suu Kyi amesema atakuwa juu ya rais iwapo chama chake cha National League for Democracy (NLD) kitashinda uchaguzi wa jumapili.

Chama cha NLD kinatarajiwa kufanya vizuri katika uchaguzi huo, lakini Bi. Suu Kyi amepigwa marufuku kushika wadhifa wa urais na Katiba ya nchi hiyo.

Hata hivyo kauli ya Bi. Suu Kyi kuwa atakuwa juu ya rais inaashiria kuwa analengo la kuhakikisha anaongoza serikali ya chama chake licha ya kikwazo hicho cha Katiba

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG