|
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan (wa pili
kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed
Gharib Bilal (kulia kwake), Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Sazi Salula
na Naibu Katibu Mkuu wake, ....baada ya makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika
Ikulu jijini Dar es Salaam,leo.
|