MWENYEKITI WA CCM DKT JAKAYA KIKWETE AONGOZA Kikao Cha Kamati Kuu CCM JIJINI DAR ES SALAAM
byJohn Banda-
0
Mwenyekiti wa CCM Dkt Jakaya
Mrisho Kikwete aongoza kikao cha Kamati kuu ya CCM jijini Dar es salaam
ambacho kimehudhuriwa kwa mara ya kwanza na Rais wa Awamu ya Tano Dkt
John Pombe Joseph Magufuli.