Mabondia Hassan Salumu kushoto na
Hassan Mgosi wakitunishiana misuli baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga
Januari 2 katika ukumbi wa Frends Corner Manzese Dar es a salaam Picha
na SUPER D BOXING NEWS
Na Mwandishi Wetu
MABONDIA mbalimbali wa ngumi za
kulipwa wamesaini mkataba wa mpambano wa kufungua mwaka kuzipika siku
ya januar 2 mwakani katika ukumbi wa Frends Corner Manzese Dar es salaa
Akizungu wakati wa kusaini
mikataba hiyo mratibu wa mpambano uho Rajabu Mhamila ‘Super D’ amesema
kuwa mabondia walio wasainisha kuwa ni Shedrack Ignas atakaepambana na
Abdallah Luwanje na
Hassan Salumu atakabiliana na
Hassan Mgosi nae Shomari Mirundi atapambana na Husein Mbonde na Ramadhani Maonya atakumbana na Said Faraji wakati Kelvin Majiba atakumbana na Ibrahimu Hamis mabondia wengine walio saini ni Mohamed Muhunzi na Mohamed Kashinde
Abdallah Pazi ‘Dula Mbabe’ atakumbana na Zumba Kukwe
Hassan Salumu atakabiliana na
Hassan Mgosi nae Shomari Mirundi atapambana na Husein Mbonde na Ramadhani Maonya atakumbana na Said Faraji wakati Kelvin Majiba atakumbana na Ibrahimu Hamis mabondia wengine walio saini ni Mohamed Muhunzi na Mohamed Kashinde
Abdallah Pazi ‘Dula Mbabe’ atakumbana na Zumba Kukwe
Mpambano huo umeandaliwa na
kampuni ya Butamanya General Tredes and Boxing Promotion imeandaa
mpambano huo kwa ajili ya kukuza viwango vya mabondia chipukizi na
kuimarisha zaidi wale wenye uwezo kwa ajili ya kuwapatia mipambano
mbalimbali ya ndani na nje ya nchi
Super D aliongeza kwa kusema kuwa
siku hiyo kutakuwa na burudani za nguvu pamoja na ulinzi wa kutosha na
ngumi zitaanza mapema ili wapenzi wa mchezo wa masumbwi warudi majumbani
mapema wakiwa na furaha ya mchezo utakaochezwa siku hiyo.
Tags
MICHEZO