Afisa Ustawi wa Jamii kutoka Sekretarieti ya
Mkoa wa Dodoma Bi. Ziada Nkinda (Aliyebeba Mtoto) akikabidhi zawadi za siku kuu
ya Noeli (Christmas) zilizotolewa na Rais John Pombe Magufuli kwa watoto
wanaoishi kwenye kituo cha kuhudumia watoto cha kijiji cha matumaini Mkoani
Dodoma.
Meneja wa kituo cha kuhudumia watoto cha
kijiji cha matumaini kilichopo Dodoma Padiri Vicent, kwa niaba ya watoto wa kituo
hicho, akimshukuru Bi. ziada Nkinda kwa kukabidhi zawadi zilizotolewa na Mhe. Rais
John Pombe Magufuli zikijumuisha mchele kilo 121, Mbuzi wawili na mafuta ya
kupikia lita 40 vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya laki sita.
Tags
HABARI ZA DINI