Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, Atoa Risala ya Kuukaribisha Mwaka Mpya wa 2016
byJohn Banda-
0
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, akitowa Salamu za
kuukaribisha Mwaka Mpya 2016 kwa Wananchi wa Zanzibar Ikulu Zanzibar leo
31/12/2015.(Picha na Ikulu Zanzibar)