BANDA MEDIA BLOG

WAFANYABIASHARA WA BIDHAA ZA SOKONI WALIOKUWAKUWA WAMEJENGA VIBANDA MTAA WA MAILIMBLIA KISIWANI MANISPAA YA DODOMA LEO WAMEONJA MACHUNGU YA BOMOABOMOA YA CDA BAADA YA KUVUNJIWA VIBANDA ZAIDI YA 40

Tingatinga la CDA likibomoa vibanda katika soko la maili mbili kisiwani

Askari wakiimalisha usalama wakati wa uvunjaji huo
Baadhi ya wakazi wa mtaa wa maili mbili Kisiwani wakiangalia uvunjaji huo.


Wakati zoezi hilo la uvunjaji  likiendelea wauza mbao katika Eneo hilo hilo waliendelea kufanya biashara zao bila kubugudhiwa



Baadhi ya bidhaa zilizokuwa zikiuzwa katika moja ya vibanda hivyo

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG