![]() |
| Mshindi wa Kwanza Wanawake Anjelina Daniel akimaliza kwa kushangilia mbio hizo na kujinyakulia zawadi ya Pikipiki yenye thamani ya mil 3 |
![]() |
| Msindi wa Kwanza wanaume wa mbio za km 21 nusu Marathon, Emanuel Giniki akimaliza kwa kuminya saa yake |
![]() |
| Mashindano yoyote si lelemama hawa ni baadhi ya washiriki wa mbio hizo wakigangwa baada ya kushikwa na misuri IMEANDALIWA NA BANDA BLOG |
![]() |
| Mbunge wa jimbo la Mbulu vijijini akiruka salakasi uwanjani hapo |
![]() |
| Mshiriki wa mashindano hayo raia wa japani akimaliza wa mwisho katika mbio hizo za km 21 |
![]() |
| Mbunge wa jimbo la Mburu Vijijini Flatei Massay akionyesha umahili wa kuchezea mpira kwa kijiti kilichopo mdomoni |

![]() |
| Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Mchezo Nape Nnauye akizungumza katika mashindano hayo |
![]() |
| Waziri Mkuu Majaliwa akitoa hutuba |
![]() |
| Waziri Mkuu Kassimu Majaliwa akimpa mkono wa pongezi Rais wa Chama cha Raidha na Mkimbiaji aliyoweka historia ambayo bado haijafutwa Duniani Filibert Bay |
![]() |
| Waziri mkuu Kassimu Majaliwa akiwa pamoja na viongozi mbalimbali walipokuwa wakisubili kuanza kutoa zawadi za washindi wa mashindano ya Riadha katika uwanja wa jamhuri |
![]() |
| Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimkabidhi cheti maalumu Muwakirishi wa Kampuni ya GSM iliyodhamini mbio za km. 21 nusu Marathon Hapa kazi tu, zilizofanyika Dodoma Deo Ndejembi |
![]() |
| Mshindi wa kwanza wanawake akipokea zawadi ya Pikipiki taka kwa Waziri mkuu Kassimu Majaliwa |
![]() |
| Mshindi wa kwanza wanawake akipokea zawadi ya Pikipiki taka kwa Waziri mkuu Kassimu Majaliwa |
![]() |
| Mshindi wa kwanza wanaume akielekezwa jambo na Mwakilishi wa kampuni ya GSM Deo Ndejembi iliyodhamini mbio hizo za km21 nusu Marathon Hapa kazi Tu. |
Tags
MICHEZO KITAIFA
















