Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza na Wabunhe kwenye jengo la utawala la Bunge mjini Dodoma
Januari 24, 2016. Kutoka kushoto ni Dkt. Raphael Chegeni wa Busega,
Adadi Rajabu wa Mhuheza na Jason Rweikiza wa Bukoba Vijijini. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majlaliwa
akizungumza na wenyeviti wa Kamati za Bunge Ofisini kwake mjini Dodoma
Januari 24, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akizungumza na Mbunge wa Busega, Dkt.Raphael Chegeni kwenye jengo la
utawala la Bunge mjini Dodoma Januari 24, 2016. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)
Tags
Bunge