BANDA MEDIA BLOG

UTAFITI WABAINI WANAUME WENGI WA MIKOA YA NAIROBI NA NYANZA HUPIGWA NA WAKE ZAO

Utafiti uliofanywa nchini Kenya umeonyesha kuwa wanaume wa mikoa ya Magharibi, Nairobi na Nyanza wanaongoza kwa kukabiliwa na vitendo vya kunyanyaswa, kudhalilishwa na kupigwa na wake zao.

Utafiti huo ambao ulikuwa ukijaribu kupigana na mtazamo kuwa wanaume wa mkoa wa Kati Kenya wanakabiliwa zaidi na vitendo vya ukatili na vipigo kutoka kwa wanawake wao, umebaini nusu ya wanaume waliohojiwa katika mikoa hiyo wamepata vipigo, kudhalilishwa kingono na kuthiriwa hisia zao na wake zao.

Matokeo ya utafiti huo yametolewa jana katika uzinduzi wa utafiti wa idadi ya watu na hali ya afya, uliofanywa mwaka 2014, unaolenga kuangalia idadi ya watu Kenya pamoja na hali za afya za wananchi.

Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG