BANDA MEDIA BLOG

WABUNGE WA CCM WAPEWA SEMINA ELEKEZI KUELEKEA BUNGE LINALOTARAJIA KUANZA MAPEMA WIKI IJAYO

Katibu mkuu wa CCM Abdallaman Kinana akifungua semina Elekizi ya Wabunge wa Chama chake leo asubuhi mjini Dodoma
Wabunge kupitia chama cha mapinduzi CCM wakiwa katika ukumbi wa mikutano kabla ya ufunguzi wa semina Elekezi ya wabunge wa chama hicho kwa ajili ya kujiandaa na Bunge litakaloanza wiki ijayo  IMETENGENEZWA NA BANDA BLOG

Viongozi wakuu wa CCM wakiwa katika ukumbi huo kabla ya semina hiyo kuanza IMETENGENEZWA NA BANDA BLO


Post a Comment

Previous Post Next Post
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG
BANDA MEDIA BLOG