![]() |
| Sehemu za mashamba katika eneo la mkalama linalopaka na majengo ya chuo kikuu cha Dodoma UDOM |
![]() |
| Sehemu hii ni ya mashamba ambayo tayari ilishapimwa na CDA lakini wakulima wenye maeneo wanadai kutolipwa fedha zao mpaka mwisho wa Mkata wao wa miezi 6 |
![]() |
| Bwawa la Mkalama lilipo pembezoni mwa mashamba ambayo yanadaiwa kutolipiwa fidia huku tayari yakianza kuuzwa kwa wenye Fedha na kuachwa wanakijiji |
![]() |
| Wananchi hao wakiwa wamekusanyika katika maeneo ya mashambako ambako wanadaia Bado hawajalipwa na CDA Waliokwishapima tangu mwaka jana |
Tags
HABARI KITAIFA







